Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya kibiasharazaidi yaleta chachu ICEALION

Jumatatu , 27th Jul , 2020

Mkuu wa Operesheni wa Kampuni ya Bima ya ICEA LION, Jared Awando, amesema kampeni ya Kibiashara Zaidi iliyoendeshwa na kampuni ya EATV Limited kupitia televisheni, radio na mitandao yake kijamii imeleta mwamko chanya kwa watumiaji na wawekezaji katika soko la bima nchini.

Mkuu wa Operesheni wa Kampuni ya Bima ya ICEA LION, Jared Awando, amesema kampeni ya Kibiashara Zaidi iliyoendeshwa na kampuni ya EATV Limited kupitia televisheni, radio na mitandao yake kijamii imeleta mwamko chanya kwa watumiaji na wawekezaji katika soko la bima nchini.

Akizungumza na EATV SAA 1 katika hafla ya kuwapongeza wabia ambao ni wakala wa bima kupitia kampuni hiyo Bw. Awando amesema katika kipindi cha miezi sita wakala wameongezeka kutoka 12 wa awali hadi kufikia 45 ikiwa ni sawa na asilimia 93 hivyo kuwafanya kuwa imara zaidi katika utoaji wa huduma ya bima nchini.

Kwa upande wao wakala wa bima wabia wa ICEA LION wamesema kuwa hamasa hiyo waliipata baada ya kufuatilia EATV na East Africa Radio kupitia kampeni yake Kibiashara Zaidi na kuongeza kuwa hadi wametumia fursa hiyo kuongeza mapato pamoja na kukuza soko la ajira nchini.

Kampeni ya Kibiashara Zaidi ilikuwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea shughuli za kibiashara nchini katika kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi kupitia biashara mbalimbali, ikiwa ni katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Dk. John Maagufuli za kuwahamasisha Watanzania kujikwamua kiuchumi kwa kushiriki katika biashara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava