Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya kuruhusu bayoteknolojia katika vyakula

Jumanne , 4th Oct , 2022

Kenya imekuwa ni taifa la pili barani Afrika baada ya Afrika Kusini kuruhusu vyakula vya bayoteknolojia kutumika ndani ya mipaka yake pamoja na uingizwaji wa bidhaa hizo.

Mahindi yaliyobadilishwa vinasaba (GMO)

Baraza la mawaziri nchini Kenya limefungua mabilioni kwa kampuni zinazojihusisha na sekta ya viumbe vilivyobadilishwa vinasaba (GMO) baada ya kuidhinisha kilimo na uingizaji wa mazao ya bayoteknolojia katika mabadiliko makubwa ya kisera ambayo yanalenga kuifanya Kenya kuwa na uhakika wa chakula na kuwa na bei ya rafiki.

Rais William Ruto wiki hii aliongoza kikao cha baraza la mawaziri kilichoondoa kusitishwa kwa sera ya 2012 ambayo ilizuia uingizaji wa bidhaa za aina hiyo au kilimo cha wazi cha mazao ya GMO.

Kampuni zinazojihusisha na utengenezaji wa mbegu za GMO zitakuwa  miongoni mwa wanufaika wakubwa wa mabadiliko ya sera hiyo ambapo yataweka shinikizo kwa wakulima kupunguza bei au kulazimika kutoka sokoni.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine