Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilio cha wafanyabaishara mbogamboga sokoni

Jumatatu , 3rd Aug , 2020

Moja ya changamoto inayowakwamisha wafanyabiashara wa mboga mboga ni pamoja na kukosa soko la uhakika huku kwa wakulima nao wakikumbana na kikwazo cha ukosefu wa maji ya uhakika kumwagilia mazao yao.

Moja ya changamoto inayowakwamisha wafanyabiashara wa mboga mboga ni pamoja na kukosa soko la uhakika huku kwa wakulima nao wakikumbana na kikwazo cha ukosefu wa maji ya uhakika kumwagilia mazao yao.

Huyu ni miongoni mwa vijana wachache walioamua kuachana shughuli za kuuza mitumba na kuamua kufanya biashara ya kuuza mboga mboga na kuziandaa shambani akielezea jinsi biashara hii ilivyomnufaisha.

Syrus amesema ni vyema serikali ikatoa maeneo ambayo vijana wenye nia ya kujiajiri katika shughuli za uzalishaji mali kwa kuwa yapo mabonde mengi ambayo yakiandaliwa vizuri yanaweza kuajiri vijana wengi zaidi.

Sina amewaomba wadau wenye uwezo wa kuchimba visima vya uhakika wa kupatikana maji mwaka mzima kujitokeza ili kuwezesha kupatikana kwa maji ya umwagiliaji kwa muda wote.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali