Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Konyagi yabadilishwa mwonekano, ladha ile ile

Jumamosi , 17th Oct , 2020

Kampuni ya Bia nchini TBL kupitia kinywaji chake cha konyagi imezindua nembo mpya ya kinywaji hicho inayoipa muonekano mpya ili kuendelea kuvutia wateja wake kutokana na kinywaji hicho kuwa na msisimko wa kipekee na wa hali ya juu.

Meneja wa bidhaa Pamela Kikuki, akionesha muonekano wa Konyagi mpya

Akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa nembo hiyo uliofanyika jana usiku Jijini Dar es Salaam Meneja wa bidhaa hiyo Pamela Kikuki amesema, uzinduzi wa nembo hiyo unaenda sambamba na kauli mbiu ya kinywaji hicho iliyopewa jina la ‘Konyagi Washa Cheche’

“Kinywaji hiki cha konyagi hakijabadilika bali kimeongezewa vionjo vya kimuonekano na ladha ni ile ile na kuwaomba watumiaji kutumia kinywaji hicho bila wasiwasi wowote”, amesema Bi.Pamela

Kwa upande mwingine Pamela amesema konyagi ni kinywaji aina ya Gin ilioanza kutengenezwa mwaka 1977 na ladha yake ikiwa ni ile ile ila wao wamebadilisha muonekno pekee.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava