Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maafisa mipango,serikalini tekelezeni mipango

Jumatatu , 5th Dec , 2022

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Lawrence Mafuru amewataka wanamipango kutekeleza mipango inayoonekana na yenye mafanikio Ili kuweza kufanikisha dira ya mendeleo ya miaka mitano ijayo itakayowezesha mabadailiko ya kiuchumi,na kijamii Kwa kizazi kijacho.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Lawrence Mafuru

Mafuru ametoa Kauli hiyo wakati akizungumza na maafisa mipango,watakwimu,wanademographia kutoka taasisi mbalimbali za wizara ya fedha na mipango ambao wanahusika katika uaandaji ,utekelezaji na na kutoa tathimini ya mipango mbalimbali.

Amesema ni muhimu kuwa na mabadailiko ya kijamii na kiuchumi kwa kizazi kijacho hivyo wanapopanga wawe na mipango yenye uhalisia itakayolenga kutatua changamoto mbalimbali za wananchi hususani kizazi kijacho.

“Nataka kuona kada ya mipango ni muhimu Sana katika mustakabali wa taifa hivyo Ili kuiwezesha tasnia hiyo kutoa mchango stahiki wanamipango ni budi kuwa na taarifa zote zinazotokea nje ya nchi Ili kukabiliana na changamoto mbalimbali katikà utekelezaji wa mipango yao”.alisema Lawrence Mafuru

Kwa upande wake kamishina wa idara ya mipango ya kitaifa wizara ya fedha na mipango Dokta Musali Milanzi amesema kongamano hilo litawajengea uwezo wanamipango kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mabadailiko ya idadi ya Watu Ili kuweza kuleta mabadailiko ya kiuchumi,kijamii.

Hata hivyo Mafuru amebainisha kuwa nchi Iko katika hatua ya mwisho ya utekelezaji wa dira ya taifa ya maendeleo ya mwaka 2020_2023 na tayari maandaizi ya dira mpya ya maendeleo yameanza Ili kutoa mwelekeo mpya wa nchi Kwa miaka 25 ijayo.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA