Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mali za Bil. 4.4 zilitumika kutenda uhalifu

Jumanne , 4th Oct , 2022

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (DPP) imekabidhi Wizara ya Fedha na Mipango mali 8,188 zenye thamani ya billion 4.4 zilizotumika kutenda uhalifu mbalimbali nchini.

Katibu wa Wizara ya Fedha na Mipango dkt Emmanuel Tutuba(Kushoto mwenye miwani)akipokea ripoti ya mali zilizotumika katika uhalifu kutoka kwa DPP.

Akizungumza katika Hafla ya makabidhiano ya mali zitokanazo na uhalifu kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka  jijini Dodoma,katibu mkuu wizara ya fedha na Mipango Emmanuel tutuba ametoa wito kwa watanzania kuzingatia sheria na kutojiingiza kwenye vitendo vya kihalifu kwani vinaweza kuhatarisha Maisha yao na utajiri wao. 

"watanzania zingatieni sheria na msijiingize kwenye vitendo vya kihalifu maana sheria ipo wazi na kama umetoa gari kumpa mtu ufahamu linaenda kutumika kwa shughuli gani na lisije kutumika kwenye vitendo viovu badae likakuletea hasara" Amesema Tutuba.

sambamba na Hayo Tutuba amesema baada ya kukabidhiwa mali hizo watafanya uchambuzi kuona zinazofaa kwa ajili ya matumizi ya Serikali na watazigawa kwa taasisi za umma zikaendelee kutoa huduma mbalimbali za kijamii na zingine zitapigwa mnada.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava