Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meridian Bet yadhamini mafunzo ya lishe bora Dar

Jumatatu , 22nd Feb , 2021

Kampuni ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imepanua wigo katika kusaidia jamii na jana imesaidia kufanikisha mafunzo ya lishe kwa wakazi wa Mbezi Juu, Dar es Salaam.

Baadhi ya wakazi wa Mbezi Juu waliopata mafunzo ya lishe kutoka Meridian Bet

Mwandishi wetu

Meridian Bet ambayo mbali na kuwa kampuni ya michezo ya kubashiriki matokeo imekuwa ikijitoa kusaidia jamii yenye uhitaji katika nyanja tofauti.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo yaliyoongozwa na Afisa Lishe wa manispaa ya Kinondoni, Janeth Mzava na diwani wa Mbezi Juu, Anna Lukindo, Meneja Ustawi wa Meridian Bet, Amani Maeda alisema wamesaidia mafunzo hayo ili jamii ipate kuelewa umuhimu wa lishe bora.

"Lishe ni muhimu sana katika maisha yetu, unapokula mlo kamili hata kupata magonjwa ni kwa kiasi kidogo, mfano sasa dunia ina tunachangamoto ya corona.

"Hivyo tunapokula lishe bora kwa kuzingatia misingi ya mlo kamili, miili yetu inakuwa imara," alisema Amani.

Alisema kampuni ya Meridian Bet haikusta kusaidia mafunzo hayo ambayo yamekuwa na mtizamo chanya kwa jamii ya eneo la Mbezi Juu.

Diwani wa eneo hilo, Anna Lukindo aliishukuru Meridian Bet kwa msaada huo na kueleza kwamba mafunzo hayo yamewasaidia kina mama wengi na hata baadhi ya kina baba wa eneo hilo.

"Wamejifunza mlo kamili unapaswa uweje? njia ya kumhudumia mtoto katika siku 1000 za mwanzo, lishe kwa mtu anayetakiwa kupunguza uzito na mambo mbalimbali ya afya," alisema.

Mmoja wa wakazi wa eneo hilo aliyejitambulisha kwa jina la Stumai Rajabu alisema mafunzo hayo yamemfundisha umuhimu wa lishe bora.

"Mwanzo mwanangu nilikuwa nampa ugali na mchuzi na maji, lakini baada ya mafunzo nimeelimika kwamba ili mtoto akue vizuri anahitaji mchanganyiko wa makundi yote matano ya vyakula, nitaanza kuzingatia hilo," alisema.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu