Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmachinga wafurahia ahueni waomba kuongezwa muda

Jumanne , 15th Sep , 2020

Wafanyabiashara wadogo wadogo ambao walinufaika na vitambulisho vilivyotolewa na serikali kwa ajili ya kuwasaidia kutambulika rasmi katika ulingo wa biashara wametaka wale waliofanikiwa kupitia mkakati huo na kukua kuwaachia wengine ili waweze kunufaika.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao wamesema kuwa vitambulisho hivyo vimekuwa na manuifaa makubwa katika uendelezaji wa biashara zao ikiwemo kupunguza usumbufu ambao waliokuwa wanaupata kutoka kwa mgambo wa Jiji ikiwa ni pamoja na kuwafikia wateja kwa urahisi zaidi hivyo kutaka waliionufaika na kupanda ngazi kibiashara kutoa nafasi kwa wengine kuweza kupata vitambulishi hivyo.

Wamesema licha ya mafanikio waliyopata hadi sasa suala la wateja bado limekuwa chachu kwa maendeleo kutokana na ongezeko la wafanyabiashara wa aina moja za biashara katika sehemu moja hivyo kuomba kuboreshewa kwa kupatiwa maeneo kulingana na aina za biashara pamoja na kupatiwa mafunzo zaidi ya namna ya kujiendeleza na kuwafikia wateja kulingana na mahitaji ya mlaji.

"Vimetusaidia sana kwakweli adha tuliyokuwa tunapata mwanzo hatupati tena, ila tunaombi vitambulisho viwe vya mwaka mmoja sio miezi sita kama ilivyosasa na wengine wanaopata wawe waaminifu" alisema Mustapha Mmoja wa wafanyabiashara

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava