Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtikisiko wa uwekezaji, uimara wa soko Tanzania

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Ongezeko la uwazi katika uwekezaji, usalama na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji nchini umetajwa kuwa chachu ya kuongezeka kwa wawekezaji nchini.

Ongezeko la uwazi katika uwekezaji, usalama na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji nchini umetajwa kuwa chachu ya kuongezeka kwa wawekezaji nchini.

Hayo yamebainishwa na Afisa Mtendaji Mkuu Soko la Hisa la Dar es Salaam DSE Moremi Marwa ambapo amesema licha ya nchi mbalimbali kutetereka katika uwekezaji haswa wa hisa kutokana na Covid-19 bado Tanzania wawekezaji wa ndani na nje wameendelea kuamini mazingira ya uwekezaji.

"Sio mataifa makubwa tu yakiwemo Marekani,Japan na mengine ambayo yameathirika na suala la Covid 19 Kenya imetajwa kushuka zaidi na hali hii hutokea wakati wote kukiwa na majanga ila baada ya msimu ila wengi kufanya maamuzi kwa kitu ambacho hakina athari sana"

Moremi ameshauri wawekezaji kutumia msimu huu ambao masoko mengi ya dhamana na mitaji yameonekana kushuka haswa kwenye hisa kwani bado ni uwekezaji ambao unafaida wakati soko litakapoimarika.

"Wawekezaji wengi wamewekeza katika hatifungani za serikali ambayo mara nyingi yametajwa kuwa na uhakika wa kupata fedha zao inafanyika katika mataifa mbalimbali maana hiyo ni mbinu ya kibiashara"

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu