Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nchi 15 za Afrika zajadili utunzaji wa bahari

Jumatatu , 12th Dec , 2022

Nchi 15 za bara la Africa zimekutana nchini Tanzania na kufanya kongamano lililolenga kupeleka ujumbe katika nchi hizo Kwa ajili ya kupata uelewa wa mkataba wa kimataifa ambao nchi hizo zitaufuata na kuweka sheria na kanuni juu ya namna bora ya kudhibiti uharibifu baharini

Akizungumza katika kongamano Hilo litakalodumu Kwa muda wa siku tatu kuanzia Leo Naibu Katibu Mkuu wizara ya ujenzi na uchukuzi Dkt Ally Possi amesema Mkutano huo ulioandaliwa na Shirika la kimataifa la IMO na Tanzania kuwa mwenyeji unaumuhimu Kwa nchi ya Tanzania kwani utaiwezesha nchi kuzingatia makubaliano ya kiitifaki ya sheria ya kimataifa ya kuhakikisha vyombo vya usafiri wa Maji havichafui bahari, maziwa na mito Kwa sababu ya utunzaji wa mazingira katika maji

Amesema Kwa Sasa Hali ya utunzaji wa mazingira katika maji ni nzuri na tahadhari zinaendelea kuchukuliwa Kwa ajili ya kulinda viumbe waishio baharini, ziwani na kwenye miyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la uwakala wa meli Tanzania-TASAC, Kaimu Abdi Mkekenge ameeleza kwamba Mkutano huo utaiwezesha nchi kufanya vizuri zaidi katika kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa bluu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto