Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEEC yahimiza fursa za mikopo kuondoa umasikini

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Mratibu wa programu na Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Nyakaho Mahemba amesema serikali imelenga kuwawezesha wajasiriamali wadogo, wakati na wakubwa katika kutatua changamoto za mitaji nchini.

Mratibu wa programu na Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Nyakaho Mahemba amesema serikali imelenga kuwawezesha wajasiriamali wadogo, wakati na wakubwa katika kutatua changamoto za mitaji nchini.

Bi. Nyakaho ameyasema hayo alipokuwa katika kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio na kuhimiza kuwataka raia wa Tanzania wenye umri kuanzia miaka 18 na zaidi kuchangamkia fursa ya kupatiwa mitaji wakiwa katika vikundi ama mtu mmoja mmoja ili kuwawezesha katika shughuli za uzalishaji.

Aidha, Bi. Nyakaho amesema kuwa serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Viwanda vidogo SIDO na taasisi ya elimu na vyuo vya ufundi VETA imeweka makubaliano ya utoaji wa elimu ya namna ya kutambua fursa za uwekezaji katika jamii.

Ikumbukwe kuwa mpango huu ulizinduliwa mjini Dodoma tarehe 10 Julai mwaka huu na waziri wa nchi, bunge, sera, mipango na watu wenye ulemavu Bi Jenista Mhagama na kupewa jina la Sanvin Viwanda Scheme ukiwa ni mpango jumuishi wa kuendeleza viwanda vidogo na vya kati nchini

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava