Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Parachichi moja Ulaya linauzwa elfu 10

Jumatano , 21st Sep , 2022

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Jestas Nyamanga, amewataka Watanzania kuchangamkia fursa ya soko kubwa la Parachichi aina ya hasi yenye viupeleupele kwa kuwa thamani yake ni kubwa na linauzwa kati ya zaidi ya shilingi elfu 10 nchini humo.

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Jestas Nyamanga

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 21, 2022, wakati akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao kuhusu fursa mbalimbali kwa Watanzania zilizopo nchini Ubelgiji.

"Tanzania ni ya tatu Ulaya kwa kuuza Parachichi lakini sehemu kubwa ya parachichi letu tunauza kupitia Kenya na tumezungumza na TAHA kuona namna gani tukauza moja kwa moja huku, Parachichi lenye vipelepele lina soko kubwa sana hapa Ulaya," amesema Balozi Jestas

Aidha Balozi ameongeza kuwa, "Parachichi moja inauzwa Euro 4 zaidi ya elfu 10 za Tanzania wakati nyumbani utalinunua kwa shilingi 500 au 1000 sasa ukiuza huku unaweza ukapata faida kubwa mno,".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava