Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaanza kupitia miradi ya kimkakati ya PPP

Jumanne , 2nd Mei , 2023

Serikali yakutana na wakuu wa mashirikia ya umma saba ya kimkakati na wabobezi wa uwekezaji wa ubia ya sekta ya umma na sekta binafsi kwa lengo la kubadilishana uzoefu utakaosaidia kuvutia mitaji ya kiasi cha dola za kimarekani Bilioni 9 sawa na shilingi trilioni 21 ndani ya miaka mitano

 

Akizungumza katika warsha hiyo Kamishina wa Ubia ya sekta ya Umma na sekta binafsi (PPP) David Kafulila amesema kuwa hatua hiyo ya kukutana na mashirika hayo yenye lengo la kujadili sekta mbili ikiwemo sekta ya miundombinu ya umeme pamoja na sekta ya uchukuzi inatazamiwa kuleta chachu ya kukamilisha miradi mbalimbali ya ubia nchini.

Aidha, Kafulila amebainisha kuwa wapo katika hatua ya kutafuta muwekezaji kwaajili ya ujenzi wa barabara kati ya kibaha mpaka morogoro , ikiwa na mgawanyo wa sehemu mbili ya ujenzi huo.

Nae Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Jenifa Omolo amebainisha kuwa hatua ya ujenzi wa barabara hiyo ambayo inatarajiwa kujenga katika mradi huo wa ubia utaweza kuchangia na kunufaisha sekta mbalimbali ikiwemo kilimo na kusaidia wakulima kusafirisha mazao yao kwa muda mfupi tofauti na kutumia muda mwingi katika usafirishaji wa mazao hayo.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20