Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yashauri njia bora ya kuzalisha sukari

Alhamisi , 28th Jan , 2021

Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda, amesema kwamba Tanzania bado inauhitaji wa kuagiza sukari kutoka nje ya nchi kiasi cha Tani 40 kwa kuwa bado viwanda vya ndani havijitoshelezi katika uzalishaji wake.

Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda

Profesa Mkenda, ameyasema hayo Jijini Dodoma, baada ya kukutana na Bodi ya Sukari nchini ambapo amesema Tanzania kwa sasa inazalisha Tani 377,000, ambapo wakulima wamelima miwa mingi lakini tatizo lipo kwenye uchakataji wake kwa kuwa viwanda haviwezi kuchakata miwa yote inayolimwa.

"Bado kuna uwezo wa kuzalisha sukari ya kutosha nchini kwa kuwekeza tu na kuhakikisha kwamba uwezo wa kuchakata miwa yote inayolimwa unaongezeka hivyo miwa haibaki shambani na kuongeza tija kwa aina bora ya mbegu na miundombinu ya umwagiliaji ni hivyo tu tutafikia mahitaji yetu yote ya sukari tunayoyahitaji", amesema Profesa Mkenda.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Sukari Tanzania, Mwamini Malema, ameyataka makampuni ya sukari kuhakikisha yanazalisha kwa tija na kwa ushindani ili kuongeza soko kimataifa na kuzuia uhaba wa sukari kwa siku za mbeleni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava