Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFDA yatua kwa wauza Vipodozi

Jumamosi , 8th Sep , 2018

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imesisitiza kuwa wafanya biashara wa Vipodozi nchini wasiofuaat sheria kwa kuuza vipodozi vilivyopigwa marufuku wataendelea kupoteza mitaji yao kwa kufirisiwa.

TFDA kwenye mkutanon wao leo na wauza vipodozi.

Akionge leo kwenye mkutano wa pamoja kati ya TFDA na wauza vipodozi wa Kariakoo jijini Dar es salaam, Meneja wa Usajili wa Vifaa Tiba, Vipodozi na Bidhaa Dawa, Bi Grace Shimwela amesema kwa mujibu wa Sheria, hairuhusiwi kuingiza vipodozi au bidhaa zinazodhibitiwa bila ya kusajiliwa na TFDA. 

''Kabla ya kuingiza bidhaa toka nje ya nchi,, hakikisha una kibali cha TFDA ili kuepusha kuingiza bidhaa ambazo si salama na bora ambazo zitaharibiwa au kurudishwa zilikotoka kwa gharama yako hivyo kupoteza mtaji'', amesema.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa za Dawa wa TFDA, Bw. Adonis Bitegeko, amewakumbusha wafanyabiashara wa vipodozi kuwa TFDA kama Taasisi ya Umma, ni rafiki kwa wafanyabiashara wote wakiwemo wa vipodozi hivyo wasisite kupata ushauri kabla ya kuanza biashara ili kuepusha hasara pindi inapobanika bidhaa zao hazina ubora.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara hao, Bw. Martin Mbwana amesema wamechoka kukamatwa mara kwa mara na vipodozi vyenye sumu hivyo wanahitaji elimu ya namna ya kufanya biashara hiy kwa kuzingatia matakwa ya sheria.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe