Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TPA yapokea magari 4397 kwa pamoja

Jumanne , 10th Mei , 2022

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imevunja rekodi kwa kupokea meli yenye magari 4397 ambayo yametoka nchini Japan na hivyo kuwa meli ambayo imepokelewa bandari ya Dar es salaam ikiwa na magari mengi zaidi. Awali, bandari ya Dar es salaam ilipokea meli yenye magari 4041 mwezi April 2022.

Sehemu ya magari 4397 yakiwa tayari yameshushwa bandarini

Mamlaka ya Bandari nchini Tanzania (TPA) imesema kuwa meli ya Meridian Ace ambayo imetia nanga katika bandari ya Dar es Salaam ikiwa na jumla ya magari 4397 kwasasa ndiyo meli ya kwanza kushusha magari mengi kwa pamoja katika historia ya bandari hiyo na TPA.

"Hii meli ya meridian ace imevunja rekodi kwa kuingiza magari 4397 kwa wakati mmoja, imevunja rekodi ya meli tuliyoipokea mwezi Aprili mwaka huu ambayo ilikuwa na magari 4041. Imetoka moja kwa moja nchini Japan lakini ilipita Singapore kabla ya kufika Tanzania"- Nicodemus Mushi, Kaimu Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano - TPA.

Aidha, Kaimu Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa mamlaka ya bandari (TPA) Bw. Nicodemus Mushi amefafanua kwamba asilimia 23 ya magari hayo yanabakia nchini Tanzania huku asilimia 77 yakiwa ni ya mataifa nchi jirani. Ameongeza kuwa kupokea magari mengi kiasi hiki ni matokeo ya kuaminika kwa huduma za bandari ya Dar es salaam na kuwashukuru wadau kwa kuitumia bandari hiyo.

"Katika magari haya, 23% yanabakia nchini hapa na 77% ya magari haya yanakwenda nchi jirani ya Zambia, Malawi, Rwanda, Burundi, na Congo DR. Hii inamanisha kwamba wadau wetu wameendelea kuamini huduma za bandari ya Dar es salaam, lakini pia usalama, uharaka wa huduma na uaminifu" - Nicodemus Mushi, Kaimu Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano - TPA

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto