Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukichezea Mizani faini milioni 20

Alhamisi , 11th Mei , 2023

Meneja wa Wakala wa Vipimo katika Jiji la Ilala Alban Kihula amesema kwa mujibu wa sheria mfanyabiashara yoyote anayetumia mizani kupima bidhaa anapobainika amechezea mizani ili kupunguza kiwango halisi atalazimika kulipa faini ya kuanzia shilingi laki moja mpaka shilingi milioni 20

Amesema pia anaweza kufikishwa mahakamani na kutozwa faini ya shilingi laki tatu mpaka shilingi milioni 50
Akizungumza na EATV leo Meneja huyo amesema suala la wafanyabiashara kuchezea mizani limekuwa ni changamoto kubwa hapa nchini na kusababisha malalamiko mengi kwa wananchi kupunjwa bidhaa wanazonunua maeneo mbalimbali

Hata hivyo EATV imefikia mpaka kwa wafanyabiashara wa nafaka na bucha za nyama ambao ndio wamekuwa wakilalamikiwa zaidi ambapo wamesema licha ya kukiri kuwepo kwa tabia hiyo lakini mara baada ya kuelimisha na kufahamu sheria za makosa hayo wengi wao wameachana na tabia hiyo

Nao wananchi waliofika kununua nyama na nafaka katika maeneo hayo wameeleza uelewa wao wa kutambua iwapo bidhaa aliyonunua ipo kwenye kipimo halisi Ili kuepuka kupewa bidhaa iliyo pungufu na mahitaji yake mara baada ya kuelimisha
 

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi