Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ushuru wa bidhaa za Tanzania kuondolewa Uingereza

Jumanne , 29th Nov , 2022

Mwanzoni mwa Mwaka 2023  serikali ya Uingereza imetangaza ku-wa na mpango maalum kwa kuondoa ushuru kwenye bidhaa zinazotoka Tanzania ili kuongeza ushindani kwa masoko ya bidhaa hizo nchini Uingereza.

Balozi wa Uingereza Tanzania Bwana David Concar pamoja na Mwakilishi maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye masuala ya Biashara Tanzania Lord Walney.

Hayo yamebainishwa katika Kongamano la pili kati ya Tanzania na Uingereza wenye lengo la kuwaleta pamoja wafanyabiashara na wawekezaji wa Tanzania na Uingereza.

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji Ally gugu ameongeza kuwa pia wataweka vigezo rahisi ambavyo vitakuwa sio changamoto kwa wafanyabiashara wa Tanzania kupeleka bidhaa zao Uingereza.

Kwa upande wa Uingereza, Bwana David Concar ambaye ni Balozi wa Uingereza Tanzania, ameahidi kuwa wataendelea kuongeza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili, hasa kwenye masuala ya biashara na uwekezaji huku Mwakilishi maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye masuala ya Biashara Tanzania Lord Walney akibaibisha kuwa wataendelea kushirikiana na nchi zinazoendelea katika kukuza uchumi.

Katika kongamano la mwaka jana makampuni zaidi ya 10 kutoka Uingereza, na mwaka huu wagenu kutoka Uingereza zaidi ya 30 wamehudhuria mkutano huo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava