Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vodacom na Infinix wazindua simu aina ya NOTE 8

Alhamisi , 19th Nov , 2020

Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya simu ya Infinix leo imetambulisha rasmi simu mpya aina ya Infinix Note 8 ambayo inaambatana na ofa ya Gb 96 za intaneti kutoka Vodacom.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko Vodacom Nandi Mwiyombella

Akizungumza na waandishi wa habari, Mkuu wa Kitengo cha Masoko Vodacom Nandi Mwiyombella amesema nia ya kampuni hiyo ni kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa kidijitali zaidi.

"Umuhimu wa mtandao wenye kasi kwa kila mtumiaji wa smartphone unajulikana na ili watanzania tusiwe nyuma na ukuaji wa teknolojia tunahitaji mtandao wenye kasi ili kujifunza Mambo mapya"amesema Nandi  Mwiyombella

''Kwa kuzingatia hilo Vodacom Tanzania inakusogeza karibu na ulimwengu wa kidijitali kupitia ofa ya GB 96 katika kila simu ya Infinix NOTE 8 kwa muda wa mwaka mzima"ameongeza Nandy Mwiyombella

Naye Afisa mahusiano wa Infinix Aisha Karupa amesema simu hiyo mpya inauwezo kuhimili application zenye uwezo mkubwa pasipo simu kupata Moto au kuzima ghafla wakati wa matumizi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava