Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunifu uchongaji walia na Serikali

Ijumaa , 18th Sep , 2020

Baadhi ya vijana wabunifu hasa katika sekta ya ufinyanzi na uchongaji wa mitungi ya mapambo ya maua, ambao kwa sasa imeajiri vijana wengi wameziomba mamlaka zinazojihusisha nao kuboresha soko la ndani.

Eatv hii leo imetembelea katika eneo la Mbezi Africana, maarufu kama kwa makaranga  ambapo kwa mujibu wa vijana wanaojihusisha na shughuli za kubuni na kutengeneza bidhaa hizo za vyungu wameelezea kuwa licha ya wao kupambana bado wanakabiliwa na sera zisizo rafiki, uhaba wa mitaji, pamoja na kukosekana kwa masoko ya uhakika  licha ya biashara hiyo kuwa ndio msingi wa maisha yao.

Licha ya ubunifu wanaofanya kuonesha kuwa na thamani kubwa kwa wageni wanaoingia nchini umeonekana kupewa thamani ndogo na sekta husika zinazosimamia sanaa na wabunifu licha ya kujairi kundi kubwa la watu katika fani mbali mbali.

Wabunifu hao hutumia sementi, nondo kutengeneza mapambo hayo ambayo bei hupanda juu kulingana na bei halisi ya malighafi wanazotumia.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava