Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara CocoBeach wachekelea baada covid19

Jumatano , 9th Sep , 2020

Wafanyabiashara katika fukwe za Coco jijini Dar es Salaam wamesema kuwa hali ya biashara imeanza kurejea tofauti na miezi mitatu iliyopita wakati wa janga la Covid 19 lililosababisha watu wengi kufanya kazi wakiwa nyumbani na hivyo kupunguza idadi wa wateja katika eneo hilo.

Mmoja wa wafanyabiashara katika eneo la Coco Beach akiandaa sharobati ya miwa.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao Bernard Mwinuka na  Ashrafu Mwalami wamesema kuwa, kwa sasa hali imechangamka kwani Watu wameanza kufika katika fukwe hizo kwa wingi tofauti na kipindi cha miezi mitatu ambapo wamefafanua kupata hasara kiasi kilichosababisha wengi wao kupoteza mitaji yao.

Wamesema licha ya wateja wao wengi kuwa ni raia wa Tanzania lakini eneo hilo lililikuwa kivutio kikubwa kwa watalii kutoka nje ya nchi ambao hupendelea kutembelea fukwe hizo pamoja na kupata huduma zitolewazo eneo hilo ikiwa ni pamoja na kitoweo cha mihogo na bidhaa za kitamaduni.

“Kipindi cha mlipuko wa Corona hali ilikuwa mbaya, ukweli tunashukuru jitihada zilizofanywa na serikali katika kuhakikisha inadhibiti maambukizi ya virusi hivyo ikiwa ni pamoja na mikakati ya kujikinga ikiwemo unawaji wa mikono pamoja na uvaaji wa barakoa"amesema Mwinuka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto