Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara walia na bei ya mafuta

Jumatano , 4th Mei , 2022

Baadhi ya wafanyabiashara na wasafirishaji jijini Dar es Salaam wamesema Kuna ulazima sasa wa serikali kuja na mpango wa makusudi wa kunusuru Hali ya maisha inayozidi kuwa ngumu Kila kukicha kutokana na kupanda Kwa Nishati ya mafuta

Rai hiyo imetolewa mara baada ya mamlaka ya udhibiti wa Nishati na Maji EWURA kutangaza bei mpya Kwa nishati ya mafuta ambayo inaanza kutumika leo mei 4,2022 bei ambayo imetajwa kutokuwa rafiki ukilinganisha na maisha halisi yalivyo

"Sisi tuko hapa tunasafirisha abiria sehemu ya buku kumpeleka mtu ukimwambia elfu mia tano ni ugomvi hivyo Biashara inazidi kuwa ngumu sana ya usafirishaji" alisema Ramadhani Juma-Mfanyabiashara/Dereva.

Wamesema kwa bei mpya ya Shilingi elfu tatu na zaidi ni maumivu makali hususani Kwa wafanyabiashara wadogo ambao hulazimika kutoa bidhaa sehemu Moja kwenda ingine huku wakiomba sasa serikali nkuingilia kati suala hili.

"Kiukweli saizi ndo tunaona maajabu   huu upandaji bei sio mchezo kama serikali haitaingilia kati hali inakwenda kuwa ngumu Sana" alisema hamisi - Mmiliki wa vyombo vya usafiri.

Kupanda kwa bei ya Nishati ya mafuta ambayo imeanza kutumika leo hadi sasa bado imekuwa na sintofahamu kutokana na gharama kuzidi kupaa juu ambapo kwa Lita Moja ya Petroli ikiuzwa shilingi 3148, dizeli 3258 na mafuta ya taa lita Shilingi 3112 Kwa Dar es Salaam hali inayofanya  Huduma zingine pia kupaa juu Zaidi

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto