Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara walia na wanasiasa maslahi uchumi

Jumatatu , 31st Aug , 2020

Wakati Tanzania ikielekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba 28, wafanyabiashara wametaka viongozi watakaochaguliwa kusimamia sera ambazo zitakuza maslahi ya pamoja katika kukuza uchumi wa nchi.

Wafanyabiashara katika soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam

Wakizungumza na EATV Jijini Dar es Salaam wafanyabiashara hao wamesema licha ya kuwepo kwa sera katika kulinda masalahi ya wafanyabiashara ikiwemo kuondolewa kwa utitiri wa kodi wametaka sera zaidi ambazo zitamlinda mzalishaji wa ndani pamoja na kutenga masoko kulingana na aina za biashara.

"Ukweli changamoto kubwa sasa ni kupata soko la uhakika la bidhaa zetu wangetuwezesha kwa hilo ingesaidia zaidi waache kuangalia matumbo yao waongeze zaidi katika maslahi ya wananchi wote" amesema Mfanyabiashara wa Kariakoo Octavian Fabian

Kwa upande wao wadau wa biashara na uwekezaji wamesema bado wanamini kukua kwa uwekezaji kutokana na misingi ya amani na ushirikiano ambao umekuwepo huku wakisisitiza watakaopewa ridhaa ya kuongoza nchi kuendeleza sera bora za uwekezji nchini.

"Bado tunategemea uwekezaji kuimarika zaidi hatuna wasiwasi na hali ya kisiasa kwa sasa licha ya kuwepo kwa ushindani lakini katika eneo la uwekezaji bado tunaamini watakaopata nafasi za uongozi wataendeleza na kuboresha sera wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na wa nje ya nchi" amesema Moremi Marwa afisa mtendaji DSE

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu