Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahasibu, Serikali kuwasaidia wamachinga

Jumatatu , 20th Jun , 2022

Ili kuyainua makundi maalumu ya machinga na vijana wa Bodaboda serikali kupitia Wizara ya maendeleo ya Jamii imeingia makubaliano na Chama cha wahasibu TAA kufanya usimamizi na kutoa mafunzo kwa makundi haya ili kupitia wataalamu hao waweze kufahamu misingi ya kutunza fedha

Akitoa kauli hiyo mara baada ya kuingia makubaliano hayo kati ya Serikali, TAA na chama cha wamachinga SHIUMA amesema wamedhamiria kupata takwimu sahihi ili kuweza kuwaratibu wamachinga kote nchi nzima kujua walipo kwa mifumo hai iliyowekwa.

"Haiwezekani kuwa na watu ambao wao miaka nenda rudi hawakui kibiashara ndo maana sasa serikali imeangalia na kuweka sasa mifumo ambayo mmachinga atakuwa kibiashara" alisema Dr Mpanju ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii.

"Kama wahasibu wote nchi nzima watashirikiana basi taaluma yao itawasaidia wamachinga kujifunza kuweka bajeti ili kukuza mitaji yao" amesema CPA Victorius Kamuntu ambaye ni Makamu wa Rais TAA

Awali kabla ya makubaliano uongozi wa wamachinga taifa umeomba kwa serikali kuondoshwa kwa baadhi ya changamoto za kisera zilizopo kwa baadhi ya halmashauri nchini

Akisoma kwa wamachinga waiohudhuria makubailliano hayo mwanasheria wa Wizara  amesema ni muda sasa kwa wamachinga kutumia fursa hiyo kibiashara.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa