Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakulima punguzeni semina mzalishe zaidi - Bashe

Jumanne , 10th Jan , 2023

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewashauri wadau wa maendeleo nchini kuwasaidia wakulima katika uzalishaji na sio kuwapa semina kwa mwaka mzima bila uzalishaji

Bashe ametoa kauli hiyo katika mkutano na wahariri wa vyombo vya habari na wadau wa kilimo ambapo amesema wakulima nchini wamebadilishwa kutoka kuwa wazalishaji na sasa wanazunguka kwenye semina mbalimbali jambo ambalo linashusha uzalishaji

"Tumewabadilisha wakulima kutoka kuwa wazalishaji mpaka kuwa Grants Preneurs, yani mkulima kuanzia Januari hadi Desemba yupo kwenye semina, leo Mbeya kesho huku, atazalisha saa ngapi, huyu anataka umchimbie kisima wewe hizo hela za semina mchimbie kisima" amesema Waziri Bashe

Aidha Waziri Bashe amesema serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan imewekeza fedha kwenye kilimo hivyo ni wakati wa kuzalisha kwa wingi

"Rais Samia ana utashi wa kisiasa kwa ajili ya kilimo na ana utayari wa kuwekeza fedha kwenye kilimo, na mimi nawaambia wenzengu wizarani, tukifeli kuzalisha tutakuwa hatujawatendea haki wananchi wa nchi hii"

  
Aidha Waziri huyo amewataka wadau wa maendeleo nchini kama wanahitaji kuwekeza nchini waendane na matakwa ya wizara yake huku akisema kama watashindwa ni bora wakaondoka na fedha zao

"Unaweza kumkuta development Partner anakwambia tumeisaidia Tanzania kwenye Kilimo Dola milioni 5, ukiwauliza nini wanasema tumeenda kuwafundisha wakilima, kufanya Policy Analysis, nimewaambia no, nina vipaumbele vyangu vitano kama una pesa cheza na hizi tano huwezi nenda nyumbani na pesa yako"
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto