Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wamachinga Dar es salaam waomba ulinzi

Jumanne , 4th Oct , 2022

Viongozi wa chama cha wamachinga mkoa wa Dar es salaam wametaka kukomeshwa mara moja kwa makundi ya kihalifu maarufu kama Panyaroad ambapo wamesema baadhi ya wamachinga wamekuwa ni wahanga na makundi hayo na hivyo kuwarudisha nyuma kiuchumi

Wakizungumza na waandishi wa habari leo mwenyekiti wa wamachinga mkoa wa Dar es salaam Namoto Yusuph Namoto licha ya kulipongeza Jeshi la polisi kwa jitihada zake za kupambana na makundi hayo ya kihalifu lakini wametoa wito kwa jamii na wanasiasa kuacha siasa chafu ambazo zitaathiri maana nzima ya Jeshi la polisi katika kusambaratisha makundi hayo

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa wamachinga Steven Simbo amewashauri vijana wanaofanya uhalifu kuacha mara moja na badala yake kwenda kwenye soko hilo kutafuta fursa za kufanya biashara kwani wapo vijana ambao walikuwa wahalifu lakini Kwa sasa waneungana na wenzao kufanya biashara ndogondogo na kuachana na uhalifu

Naye Bakari Said Mkupa ambaye ni mwenyekiti wa wamachinga wilaya ya Ilala ameitoa hofu serikali kwamba panyarroad hawawezr kujichanganya na wafanyabiashara hao Ili kufanya uhalifu kwa kuwa tayari wana kanzi data inayowatambua wafanyabiashara hao hivyo haitakuwa rahisi kufanya uhalifu

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA