Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakiwa kupanga kilimo cha matokeo ya haraka

Alhamisi , 22nd Dec , 2022

Wakati Mkoa wa Kagera ukitajwa kuwa miongoni mwa mikoa ya mwisho katika umaskini, maafisa kilimo wametakiwa kukaa na kupanga ni kilimo cha mazao gani kitaleta matokeo ya haraka ya kiuchumi kwa wananchi hasa vijana, lengo likiwa ni kuhakikisha uchumi wa mkoa unapanda kupitia sekta hiyo

Akizungumza katika kikao cha kamati ya kujadili maendeleo ya wilaya ya Bukoba, ambacho kimezishirikisha halmashauri mbili ambazo ni manispaa ya Bukoba na halmashauri ya wilaya ya Bukoba, mkurugenzi wa manispaa hiyo Hamed Njovu amesema kuwa, huwezi kuhamasisha kilimo cha miti au mazao ambayo yanaleta matokeo ya kiuchumi baada ya miaka 10 au 15, halafu ukategemea vijana waitikie.

"Vijana wanaangalia wafanye kitu gani cha kuwaletea matokeo ya haraka, na ndiyo maana wanakimbilia kwenye kuendesha bajaj na bodaboda, lakini maafisa kilimo wetu wakichagua zao ambalo linaweza likampa mkulima matokeo ya haraka, vijana wataenda huko" amesema. 
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine