Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nitapambana nao kwani nawajua"- Kamanda Musilimu

Jumatano , 20th Sep , 2017

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Fortunatus Musilimu  amesema ameamua kuwashughukikia madereva wanaovunja sheria za barabarani kwani ni watu wanaojulikana.

Akizungumza kupitia kipindi cha East Africa Breakfast, Kamanda Musilimu amesema kuwa madereva wengi wamekuwa wakifanya makosa kwa mazoea kwa kuwa wamejua adhabu yao ni faini kwa makosa wanayofanya.

Kamanda Muslimu amesema, "Uzuri wangu mimi nadili na watu wanaojulikana, nawajua ni madereva ambao kila siku nawaona barabarani, Nitahakikisha wanatii sheria wenyewe bila kushurutishwa na watakaovunja sheria za barabarani wajue kuna maneno matatu tu - KA-MA-TA".

Pamoja na hayo hayo Kamanda Musilimu amesema propaganda za kwamba askari waliopo hawatoshi ni maneno ya watu tu lakini anaamini kuwa kikosi chake kina ngunu kazi ya kutosha.

'Watu ndiyo  wanasema askari wetu hawatoshi, Lakini kutokana na uchunguzi ambao tayari tumekwisha ufanya , kwa sasa tumejipanga kufanya doria katika maeneo hatarishi, ambapo huko sheria hazizingatiwi.  Huko barabarani si mnakutana nao basi mjue nina askari wanatosha," amesema

Ameongeza pia "Madereva wasijiulize sana faini wanazopigwa zinapokwenda kwa sababu wao wameshafanya makosa cha muhimu kwao ni kuwa makini ili waweze kuwa salama. Wengne wanasema kama tumekuwa tunakusanya mapato barabarani mimi nawaambia waache makosa waone kama watasumbuliwa".

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu