Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Uhalifu wa kutumia silaha haulipi”-IGP Sirro

Ijumaa , 22nd Jun , 2018

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema kuwa uhalifu upo kila mahali na si wa kutumia silaha tu kama watu walivyokariri, na kusema kuwa ulinzi unaimarishwa kila pande.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro akizungumza na wananchi wa Kibiti alipokuwa katika ziara yake ya kutoa elimu kwa raia wa eneo hilo.

Kamanda Sirro amefunguka hayo kwenye East Africa Drive, ya East Africa Radio ambapo amesema kuwa jeshi la polisi limekuwa likiendesha oparesheni mbalimbali na uhalifu sio wa kutumia tu silaha bali kila sekta inatakiwa kupewa uangalizi.

“Uhalifu haulipi na sio kwamba upo wa kutumia silaha tu, bali kila idara una namna yake ya kukabiliana na uhalifu, ili kuhakikisha hali ni shwari kila mahali”, amesema Kamanda Sirro.

Aidha Kamanda Sirro ameongeza kuwa bado wanaendelea na zoezi la kutoa elimu kwa wananchi wa Kibiti, ili kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeingia kinyume na sheria na endapo wakiona mgeni ambaye hawamuelewi waripoti katika vyombo vya dola.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto