Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Uhimilivu deni la Taifa ni wamashaka”- Tibaijuka

Jumamosi , 23rd Jun , 2018

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) Prof. Anna Tibaijuka, amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango kutoa maelezo ya kutosha ya kuelezea ni kwa namna gani deni la Taifa ni himilivu wakati sehemu kubwa ya pato la ndani inakwenda kulipia deni hilo.

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) Prof. Anna Tibaijuka

Prof. Tibajuka amesema hayo, Bungeni Jijini Dodoma, wakati wa kuchangia hoja kujadili hali ya uchumi na Mpango wa maendeleo ya Taifa, na kusema kuwa deni la Taifa mpaka sasa linachukua asilimia 49 ya pato ya ndani na kuongeza kuwa fedha hizo ni nyingi na hivyo inatia mashaka kama deni la Taifa linahimilika.

“Fedha nyingi zinapoenda kuhudumia deni, hapo uhimilivu unaanza kuwa wa mashaka, kwahiyo naomba Waziri utuletee majibu mazuri kutupa faraja kujua kwamba hili deni tumejisahau wapi, tunakopa zaidi, tunaendelea kutegemea kukopa, tunakusanya mapato ya ndani lakini yanaenda kwenye matumizi, maendeleo yatakwama kwasababu tunakopa” amesema Prof. Tibaijuka.

Mbunge huyo ameongeza kuwa ili kuleta maendeleo nchini, Serikali haina budi kupunguza kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara katika miradi ya mikubwa ya maendeleo na kuitaka kurudi kukopa katika mikopo yenye masharti nafuu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto