Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ubinafsi kikwazo kwa vijana kutoendelea

Jumapili , 16th Mei , 2021

Ukiwa na passion na kitu chochote unaweza kukifanya na kufanikisha,hivyo kwa watu milioni 27.1 ya watanzania kuwa wanatumia internet unapaswa kujua utengeneze kitu gani ili uweze kupata soko.’

Hayo yameelezwa na Benson Shirima mbunifu kupitia Teknolojia wakati akihojiwa na EATV ambapo ameongeza kuna vijana wengi wamemaliza katika vyuo vikuu katika fani za ICT,na wamekaa tu nyumbani kwamba ajira hakuna lakini nchi ina mahitaji mengi yanayohitaji suluhu

''Mimi wakati nasoma,tukifanya malipo ya ada na malipo mengine tulikuwa tunatumia muda mrefu unatoka hapa na kwenda dirisha hili,wakati ingetumika mtandao utakaorahisisha kutoa huduma ingesaidia ni kama sasa malipo mengi ya serikali yanafanyika kwa mtandao,hii inaondoa urasimu na kupoteza muda.'' Benson Shirima mteknolojia wa Mtandao

Akizungumzia vikwazo ambavyo vijana wanakumbana navyo wakati wanataka kujiajiri kupitia Mtandao,anasema cha kwanza ni uthubutu,kuwa nikifeli itakuaje na ubinafsi miongoni mwa vijana.

Ameongeza kuwa ubinafsi huwakwamisha vijana katika kupiga hatua katika kuungana, mfano nina wazo langu na sitaki kushirikisha wengine,na nataka kutengeneza ufalme wa mtu mmoja,na pia kushirikiana na wengine siwezi kwa hofu ya kushika nafasi zetu,na hatuhitaji kuwa na wafalme wawili,haya yote hukwamisha vijana kusonga..

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava