Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Abaka wanawake 29 na kuwauwa sababu ya utajiri

Jumamosi , 15th Feb , 2020

Jeshi la Polisi katika Mikoa ya Geita, Simiyu, Mwanza, Tabora, Shiyanga na kagera limefanikiwa kuwakamata watu zaidi ya mia tano wakijihusisha na masuala ya uhalifu pamoja na uganga wa jadi ambapo baadhi yao wanadaiwa kujihusisha na matukio ya ramli chonganishi.

Kubaka

Kukamatwa kwa watu hao ni kutokana na oparesheni maalumu iliyofanywa na jeshi hilo kufuatia agizo la Mkuu wa jeshi la polisi la nchini IGP Simoni Sillo, ambapo ilianza Febuari 3 mwaka huu, mbali na watuhumiwa vitu mbalimbali zikiwemo silaha za moto, matunguli ya waganga wa jadi na nyara mbalimbali za serikali.

Akizungumza na waandishi wa habari Mkoani Geita Mkuu wa Oparesheni maalumu za jeshi la Polisi Nchini Kamanda Mihayo Msekela amesema pia wamemkamata Mganga ambaye alimtaka moja ya wateja wake kubaka wanawake 50 na kuwauwa ili apate utajiri lakini yeye aliwabaka 29.

Tazama video kamili hapo chini

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto