Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Acheni kiherehere' - Rais Magufuli

Alhamisi , 11th Apr , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wanafunzi waliopo mashuleni kuachana na tabia ambazo zitawafanya washindwe kumaliza masomo yao kutokana na sababu ya kupata mimba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Ametoa kauli hiyo akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Njombe wakati akizungumza na baadhi ya wanafunzi ambao walijitokeza kwenye ziara yake.

Rais Magufuli amesema, "na nyinyi watoto muache viherehere nawaambia ukweli wanangu, mtu anakwambia ninakupandisha pikipiki, acheni viheherere wewe kama bado ni mdogo tulia kwanza utavikuta, utavikimbia mwenyewe na utavichoka, pata elimu yako kwanza utakuja kumchagua unayemtaka."

"Mtu akikutongoza anakufuatilia sana mpeleke kwa Mkuu wa Mkoa wa Mkuu wa Wilaya sema huyu kila siku ananitongoza.", ameongeza Rais Magufuli.

Rais Magufuli kwa sasa anafanya ziara mkoani Njombe ambapo atazindua miradi mbalimbali, ikiwemo ya barabara pamoja na ujenzi wa hospitali.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava