Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afanya mauaji ya kutisha shuleni

Alhamisi , 6th Oct , 2022

Takribani watu 31 wameuawa  kutokana na shambulizi la kisu na risasi lililofanywa na askari polisi wa zamani huko nchini Thailand , kwenye shule ya watoto wadogo.

 Polisi wa nchi hiyo wamesema kwamba msako wa mtuhumiwa huyo unendelea katika jimbo la Nong Bua Lamphu lililopo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. 

Polisi wamesema kuwa waliouawa ni pamoja na watoto wadogo na watu wazima. Mshambuliaji huyo alikua akifyatua  risasi na kuwachoma visu watoto , ambapo amekimbia baada ya tukio hilo na kwamba haijulikani sababu ya kufanya hivyo. 

Hata hivyo ilikuja kugundulika kwamba mtuhumiwa huyo aliamua kujiua baada ya kumuua mke na mtoto wake mdogo.

Taarifa kutoka Thailand zinasema kwamba afisa huyo wa polisi aliachishwa kazi siku za  nyuma sababu ya dawa za kulevya.

 Mkuu wa polisi katika jimbo la Nong Bua Lamphu amesema kuwa watoto 23 ni miongoni mwa waathiriwa wa tukio hilo. Matukio ya mauaji ya halaiki ni nadra kutokea nchini humo, ambapo mwaka  2020 askari mmoja aliwaua watu 21 na kujeruhi wengine katika jiji la Nakhon Ratchasima.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji