Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajali Morogoro : Vifo vyafikia 100

Jumatano , 21st Aug , 2019

Hadi inafikia majira ya asubuhi ya Agosti 21, 2019 idadi ya vifo vya majeruhi wa ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro, imefikia 100 .

Hatua hiyo hiyo inakuja, baada ya majeruhi mmoja aliyekuwa amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili,  kufariki usiku wa kuamkia leo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kutoka Hospitali ya Muhimbili Aminiel Aligaesha ,  amesema waliofariki ni Mazoya Sahani, Khamis Marjani na Ramadhani Magwila, na kusema kuwa majeruhi waliobaki ICU ni 13 na wawili wamelazwa wodi ya Sewahaji.

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ilipokea jumla ya majeruhi 47, ambapo hadi sasa, wamesalia majeruhi 15, huku wengine 32 wakiaga dunia.

Ajali hiyo ilitokea Agosti 10 katika eneo la Msamvu mkoani Morogoro  baada ya Lori la mafuta kuanguka na watu kujitokeza eneo la ajali, kwa nia ya kuchota mafuta na ndipo mlipuko wa moto ulipotokea na kusababisha majeruhi na vifo ambavyo hadi sasa vimefikia 100.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava