Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtanzania aeleza alivyonusurika ajali ya ndege

Jumapili , 10th Mar , 2019

Baada ya taarifa za ndege aina ya Boeing 737 ya Shirika la Ndege la Ethiopia ambayo ilikuwa na watu 157, kuanguka muda mfupi baada ya kupaa, na watu wote waliopo kwenye ndege hiyo kupoteza maisha, raia mmoja wa Tanzania ameeleza namna alivyopishana na ajali hiyo.

Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia

Kufuatia taarifa hiyo, Mtanzania, Antu Mandoza ambaye pia ni mjasiriamali wa urembo na tasnia ya habari, ameeleza namna alivyonusurika katika ajali hiyo iliyotokea asubuhi ya leo.

Katika ukurasa wake wa Twitter amesema kuwa alinusurika kukata tiketi katika ndege hiyo kabla ya kubadili safari ya Addis Ababa na baada ya kushuka ndipo alipokutana na taarifa hizo mbaya huku akipokea ujumbe mwingi na simu kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki waliotaka kujua hali yake.

 

Mwingine aliyenusurika na ajali ya ndege

 

Antonis Mavropoulos ambaye alizuiliwa kupanda muda mfupi kabla ya ajali ya ndege

Licha Antu Mandoza, mwingine aliyenusurika na ajali ya ndege hiyo ni, Antonis Mavropoulos raia wa Ugiriki ambaye amesimulia kuwa hakufanikiwa kuingia getini baada ya kuchelewa na iwapo angefanikiwa kuingia, angekuwa ni abiria wa 150 wa ndege hiyo.

Baada ya ajali kutokea alipelekwa kituo cha polisi cha eneo la Uwanja wa Ndege kwaajili ya mahojiano, ambapo maafisa wa Uwanja wa Ndege walifafanua kuwa walitaka kumhoji ni kwanini alikuwa ni abiria pekee ambaye hakuingia kwenye ndege hiyo.

Habari zilizothibitishwa na Shirika la ndege la Ethiopia zinasema kwamba ndege hiyo ilikuwa ikitoka Ethiopia kwenda Nairobi, na ilipata hitilafu angani na kupelekea kuanguka kwake.

Bonyeza hapa chini kusikiliza.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu