Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akamatwa na mifuko ya Plastiki ya Sh. Mil 70

Jumatatu , 4th Nov , 2019

Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), limekamata mifuko ya plastiki yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 70, iliyokuwa ikisafirishwa kutoka Uganda na kuingia nchini kwa njia ambazo si halali.

Shehena ya mifuko ya plastiki ilikuwa ikiingia nchini kwa kutumia Bandari Bubu, iliyopo eneo la Bwiru Bombani wilayani Ilemela, mkoani Mwanza, ambapo imetiwa hatiani kutokana na Serikali hivi karibuni kuweka katazo la kutumia mifuko hiyo.

Akizungumza na waandishi habari jijini Mwanza, Kaimu Meneja wa NEMC Kanda ya Ziwa, Redemta Samwel, amesema mfanyabiashara aliyekamatwa na mifuko hiyo anafahamika kwa jina moja la Criss, na hivi karibuni atachukuliwa adhabu kali.

"Niendelee kuwakumbusha wananchi kutumia mifuko ambayo imepigwa marufuku ni kosa kwa hiyo niwaaambie tu jifunzeni kufuata sheria ili kuepukana na adhabu kali zinazotolewa" amesema Redemta Samwel.  

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava