Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akatwa mkono na titi baada ya missed call kukoseka

Jumatano , 21st Sep , 2022

Maria Marwa (36) mkazi wa Kijiji cha Isango, wilayani Rorya mkoani Mara, amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa baada ya kujeruhiwa kwa mapanga na kukatwa mkono wa kushoto na titi la kushoto na mume wake kwa madai ya kukosekana kwa namba ya simu iliyopigwa kwenye simu ya mwanamke huyo.

Maria Marwa aliyekatwa mapanga

Akisimulia tukio hilo mwanamke huyo amesema usiku wa kuamkia Septemba 8 mwaka huu baada ya chakula cha usiku mume wake Werema Ibaso, alimuomba ampatie simu yake na kuanza kumhoji juu ya namba ya simu iliyopigwa siku mbili nyuma ambapo mwamke huyo alipoikosa ndipo mwanaume huyo alipochukua panga na kuanza kumkatakata maeneo mbalimbali ya mwili wake.

Akizungumzia sababu ya kukata mkono na titi Daktari wa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara, amesema ngonjwa huyo alifika hospitalini hapo kwa kuchelewa hivyo majeraha aliyokuwa ameyapata yalianza kuharibika.

EATV ilimtafuta Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime, Rorya Geofrey Sarakikya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na amesema jeshi la polisi linaendelea kumsaka mwanaume huyo ambaye baada ya kufanya tukio hilo na kutoroka kusikojulikana.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji