Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akwilina aagwa rasmi

Alhamisi , 22nd Feb , 2018

Mwili wa mwanafunzi aliyepigwa risasi na askari polisi siku ya Ijumaa, Februari 16, Akwilina Akwilini, umeagwa rasmi leo na maelfu ya waombolezaji pamoja na wanafunzi wa chuo cha Usafirishaji, na kisha kuanza safari kuelekea mkoani Kilimanjaro kwa ma

Shughuli ya kuaga mwili huo imefanyika mchana huu katika vianja vya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), huku pia baadhi ya viongozi mbali mbali wa serikali na watu maarufu wakihudhuria tukio hilo, lililowaacha mamia na machozi ya kumlilia mpendwa wao.

Miongoni mwa waliohudhuria ibada hiyo ni Waziri wa Elimu Joyce Ndalichako, Kamanda wa Polisi Kanda maalum Dar es salaam Lazaro Mambosasa, Msanii Bill Nas, John Mnyika, Salum Mwalimu na wengineo ambao ilikuwa ngumu kuwatambua kutokana na wingi wa watu.

Baada ya Ibada hiyo mwili wa Akwilina ulichukuliwa na kuingizwa kwenye gari maalum tayari kwa kuanza safari, huku ndugu, jamaa na marafiki wakitumia magari ambayo yalikuwepo uwanjani hapo, nhuku wengine wakitakiwa kulipia elfu 40 kwa ajili ya nauli ya kwenda na kurudi mkoani Kilimanjaro

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji