Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akwilina aagwa rasmi

Alhamisi , 22nd Feb , 2018

Mwili wa mwanafunzi aliyepigwa risasi na askari polisi siku ya Ijumaa, Februari 16, Akwilina Akwilini, umeagwa rasmi leo na maelfu ya waombolezaji pamoja na wanafunzi wa chuo cha Usafirishaji, na kisha kuanza safari kuelekea mkoani Kilimanjaro kwa ma

Shughuli ya kuaga mwili huo imefanyika mchana huu katika vianja vya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), huku pia baadhi ya viongozi mbali mbali wa serikali na watu maarufu wakihudhuria tukio hilo, lililowaacha mamia na machozi ya kumlilia mpendwa wao.

Miongoni mwa waliohudhuria ibada hiyo ni Waziri wa Elimu Joyce Ndalichako, Kamanda wa Polisi Kanda maalum Dar es salaam Lazaro Mambosasa, Msanii Bill Nas, John Mnyika, Salum Mwalimu na wengineo ambao ilikuwa ngumu kuwatambua kutokana na wingi wa watu.

Baada ya Ibada hiyo mwili wa Akwilina ulichukuliwa na kuingizwa kwenye gari maalum tayari kwa kuanza safari, huku ndugu, jamaa na marafiki wakitumia magari ambayo yalikuwepo uwanjani hapo, nhuku wengine wakitakiwa kulipia elfu 40 kwa ajili ya nauli ya kwenda na kurudi mkoani Kilimanjaro

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu