Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokisema Kabendera baada ya kuachiwa huru

Jumatatu , 24th Feb , 2020

Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam imemuachia huru Mwandishi wa Habari za Uchunguzi Erick Kabendera na kumtaka kulipa fidia ya shilingi milioni 172, fedha ambazo anatakiwa kuzilipa ndani ya miezi sita.

Mwandishi wa Habari za Uchunguzi, Erick Kabendera akiwa mahakamani.

Hukumu hiyo imesomwa leo Februari 24, 2020, ambapo ilimtaka mtuhumiwa kulipa kiasi cha shilingi 250,000 au kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela, adhabu hiyo inaambatana na fidia ya Shilingi za kitanzania Milioni 172, kutokana na kosa la ukwepaji wa kodi.

Kosa la pili limemtaka Erick Kabendera kulipa faini ya shilingi Milioni 100, hii ikiwa ni adhabu kwa kosa la utakatishaji fedha katika kesi ya uhujumu uchumi, fedha ambayo tayari amekwishaiingiza kwenye akaunti ya Serikali.

Baada ya kuachiwa huru kabendera aliwashukuru wale wote waliosimama naye katika kipindi chote alipokuwa rumande.

"Binafsi niwashukuru wanataaluma wenzangu mliosimama na mimi kwa maombi na hata mliokuja kuniona Segerea, niwashukuru ndugu zangu wa karibu na marafiki zangu wa karibu hakuna kipindi ambacho nimeelewa umuhimu wa marafiki na ndugu kama hiki" amesema Kabendera.

Julai 29, 2019,zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii, zinazoeleza kuwa Erick Kabendera amekamatwa na watu wasiojulikana, nyumbani kwake maeneo ya Mbweni na Agosti 5 kwa mara ya kwanza alipandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka matatu ya uhujumu uchumi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava