Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokisema Maalim akifunga kampeni Zanzibar

Jumapili , 25th Oct , 2020

Chama cha Act-Wazalendo kimehitimisha kampeni zake za Urais visiwani Zanzibar, ambapo mgombea urais kupitia chama hicho, Maalim Seif Hamad, ametoa tathimini juu ya kampeni zake alizozifanya visiwani humo.

Kushoto ni mgombea urais kupitia chama cha Act-Wazalendo Maalim Seif Hamad na kushoto ni umati wa wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wake wa kufunga kampeni Unguja.

Akizungumza leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja visiwani humo Maalim amewahimiza wazanzabari kujitokeza siku ya kupiga kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi wanaowahitaji.

"Tumefanya kampeni na kwa tathimini yangu ni nzuri tuliwaeleza dhamira zetu,ahadi zetu na nini mtegemee kutoka kwetu ikiwa nitakuwa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi" amesema Maalim Seif

Aidha Maalim aliendelea kugusia mambo makubwa ambayo watayatekeleza endapo watapewa idhini na wananchi kuiongoza Zanzibar.

"Mambo mengi tumesema kubwa kuboresha maisha kuhakikisha kila mzanzibari anapata ajira ,kuhakikisha vijana wetu wanapata elimu nzuri bila ya gharama mzazi" amesema Maalim Seif

Leo chama cha ACT Wazalendo kimefunga kampeni zake visiwani humo zikiwa zimebaki siku chache hadi kufikia tarehe 28/10 ambapo wananchi wataenda kupiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wanaowahitaji.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji