Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alikuwa anaonesha matumaini ya kupona"- Zitto

Jumatano , 17th Feb , 2021

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kuwa mapema leo asubuhi alifika katika hospitali ya Taifa Muhimbili kumjulia hali Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif na alikuta akiwa anaonesha matumaini ya kupata nafuu.

Kushoto ni Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na kulia ni Maalim Seif wakati wa uhai wake

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 17, 2021, masaa kadhaa tu mara baada ya Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, kutangaza kifo cha kiongozi huyo wa serikali na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo kilichotokea katika hospitali ya Taifa Muhimbili.

"Kwa mujibu wa taarifa ya madaktari na leo asubuhi nilikuwa hospitalini na nilionana na jopo la madaktari waliokuwa wanamhudumia Maalim Seif na kwa hakika alikuwa anaonesha matumaini ya kupata nafuu lakini ilipofika majira ya saa 5:29 asubuhi akawa amerudi kwa muumba wake", amezungumza Zitto Kabwe.

Aidha Zitto ameongeza kuwa, "Taarifa za mipango ya mazishi tutazitoa kwa umma baada ya mashauriano na masuala yake ya mazishi yanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na sisi kama chama tutatoa ushirikiano wote kwa serikali ili kuhakikisha kwamba tunamstiri mzee wetu kwa heshima anayostahili".

Maalim Seif amezaliwa Oktoba 22, 1943, na alikula kiapo cha kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Desemba 8, 2020, 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava