Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyekosa Uenyekiti ACT Wazalendo, kugombea Urais

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Aliyewahi kuwania nafasi ya Uenyekiti Taifa kupitia Chama cha ACT Wazalendo Yeremia Kulwa Maganja, leo amepitishwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi, kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Yeremia Kulwa Mayanja.

Wajumbe wa Mkutano huo Mkuu wamempitisha hii leo Agosti 7, 2020, kwa kumpa kura 231 kati ya kura 258, ambapo kati ya hizo zilizoharibika ni kura 7 na kura za hapana ni 20.

Mara baada ya kutangazwa kupeperusha bendera ya chama hicho, Mayanja naye alimchagua mgombea mwenza ambaye ni Haji Ambari Hamis, aliyewahi kugombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi mwaka 2010.

Awali wagombea wa nafasi hiyo kupitia chama cha NCCR-Mageuzi walikuwa ni watatu akiwemo Petterson Walter Mshenyella na Samweli Christopher Ruhuza, lakini baadaye walijitoa katika mchakato huo kwa kusema kuwa wameweka matamanio yao pembeni na kuangalia maslahi makubwa ya chama.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine