Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyetumbuliwa na Sirro aaga kazini kwa 'mbwembwe'

Jumatano , 20th Feb , 2019

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shana amewaaga maofisa wa polisi na waandishi wa habari mkoani Mwanza kwa namna ya tofauti baada ya nafasi yake kuteuliwa Kamanda Jumanne Muliro ambaye alikuwa Kindondoni Jijini Dar es salaam.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro.

Akizungumzia na baadhi ya maaskari polisi mkoani Mwanza huku akionekana na mtu mwenye furaha Kamanda Shana amewataka polisi kumpa ushirikiano kamanda huyo mpya.

Akizungumza kwa sauti ya ujazo na kuyataja kwa madaha baadhi ya maneno, Kamanda Shana amesema, "katika mabadiliko yalioyofanyika hivi karibuni aliteuliwa Kamanda Jumane Muliro  kushika kamanda wa polisi Mwanza."

"Niwaombe kwa dhati kama mlivyonipa mimi ushirikiano kwa jiji la Mwanza nyinyi mnaloliita Rock city na mimi naliita the beatifully city of Mwanza liendelea kuwa shwari."

"Nashukuru katika kipindi changu sikuwahi kulalamikiwa na chama chochote cha siasa, tulifanya kwa ushirikiano niwaalike vyama vingine vije vijifunze Mwanza  juu ya kulinda amani. shangilia vyama vya siasa machampioni wa amani", ameongeza Kamanda Shana.

Oktoba mwaka jana akiwa wilayani Butiama kwenye kumbukumbu ya siku ya Mwalimu Julius Nyerere Kamanda Shana alizua mjadala kwenye mitandao ya kijamii wakati akiwasalimia baadhi ya wananchi wilayani humo ambapo alitumia salama ya Chama Cha Mapinduzi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava