Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Ambulance' yenye mirungi, Ummy Mwalimu aamua

Alhamisi , 12th Jul , 2018

Ikiwa zimepita siku mbili tangu kuripotiwa kwa tukio la kukamatwa kwa gari la kubebea wagonjwa ‘Ambulance’ likiwa limebeba shehena ya mirungi, Wilayani Tarime mkoani Mara, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameagiza kusimamishwa kazi wote waliohusika.

Gari ya wagonjwa iliyokamatwa na shehena ya mirungi.

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo akiwa ziarani wilayani Itilima mkoani Simiyu katika uzinduzi wa tuwatumie wahudumu wa Afya ngazi za jamii, ambapo amesema kuwa hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mtumishi yeyote wa sekta ya afya atakayekwenda kinyume na utaratibu wa utoaji huduma.

Ni marufuku gari la kubeba wagonjwa kubeba mkaa wala bidhaa nyingine, nalipongeza jeshi la polisi mkoani Mara kwa kuchukua hatua na mkurugenzi wa mkoa wa Mara nakuagiza kuchukua hatua mara moja usisubiri kusikiliza popote”, amesema ummy.

Julai 10, 2018 Askari polisi mkoani Mara walilikamata gari la kubeba wagonjwa mkoani humo lililokuwa limesheheni shehena la mirungi, ambapo dereva amewekwa mahabusu akisubiri kufikishwa mahakamani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto