Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Arusha: Mmoja afariki dunia, baada ya soko kuungua

Jumapili , 29th Mar , 2020

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP Koka Moita, amesema kuwa mfanyabiashara mmoja amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mount Meru, baada ya kupata mshituko alipogundua kuwa vibanda vyake vyote vya biashara vimeteketea kwa moto.

Mabaki ya vibanda baada ya soko la Samunge Arusha, kuteketea kwa moto.

Tukio la kuteketea kwa soko la Samunge mkoani Arusha, limetokea usiku wa kuamkia leo Machi 29, 2020, ambapo hadi sasa chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, ambapo pia idadi ya vibanda vilivyoteketea na moto pia bado haijajulikana.

"Wakati zoezi la kuzima moto linaendelea mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la James Peter Chemba (57), alipofika kwenye eneo la tukio alikuta vibanda vyake vimeungua na kupata mshituko na kuzimia na alikimbizwa hospitali ya Mount Meru, ambapo alifariki wakati akipatiwa matibabu" amesema ACP Koka.

Aidha Kamanda Moita amesema kuwa uchunguzi wa kubaini hasara ya mali zilizoungua unaendelea.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA