Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Asilimia 85 ya watu wana uono hafifu' - Dkt Frank

Jumatano , 9th Oct , 2019

Shirika la Afya Dunia (WHO), limeweka mpango mkakati wa kuhakikisha wanawake wanapewa kipaumbele cha kupatiwa matibabu ya afya ya macho, ambapo takwimu zinaonesha kuwa takribani asilimia 55 wana upungufu wa kati wa kuona.

Vipimo vya macho

Hayo yamebainishwa leo Oktoba 9, 2019 na Rais wa Chama cha Madaktari wa Macho nchini Dkt Frank Sandi, ikiwa ni katika kuelekea wiki ya Afya ya macho Duniani, inayoadhimishwa kila Alhamisi ya pili ya mwezi Oktoba, ambayo kwa mwaka huu imeangukia Oktoba 10, 2019.

''Takribani watu bilioni 1.3, wanakadiriwa kuwa na upungufu wa kuona na asilimia 85 wanaishi katika nchi zenye kipato cha chini, ikiwemo nchi ya Tanzania'' amesema Dkt Sandi.

Kwa upande wake Makamu Rais wa Chama hicho Dkt Cyprian Ntomoka, amesema kuwa watu wengi wamekuwa wakitafuta huduma ya macho yao, wakiwa wamechelewa hali inayopelekea kuwa na idadi kubwa ya watu wenye matatizo hayo.

''Watu wengi wanaishi maisha magumu, unakuja unamuuliza amekujaje anakujibu amekuja kwa kuendesha gari, wakati hana uwezo wa kuona na ukiangalia Sheria ya nchi hairuhusu mtu kuendesha gari akiwa na hali hiyo ni muhimu mtu akapima macho mapema ili aweze kutibiwa'' amesema Dkt Ntomoka.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava