Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba auwa mke, mtoto na yeye kijiuwa

Jumanne , 30th Mar , 2021

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linaendelea kuchunguza tukio la vifo vya watu watatu lililotokea Machi 26, 2021, saa 9:00 usiku katika kijiji cha Mayondwe wilayani Muleba.

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi

Katika tukio hilo baba wa familia aliwaua mke wake na mtoto wake mmoja kwa kuwakata sehemu mbalimbali za miili yao na kisha naye kujiua kwa kujinyonga kwa shuka.

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi ametaja waliopoteza maisha kuwa ni Editha Martin (48) na Sawia Sudi (25) ambao walikatwa kwa panga na mtuhumiwa Sudi Mwamandi (49) ambaye baada ya kufanya mauaji hayo alijinyonga kwa kujitundika juu ya mti kwa kutumia shuka.

Kamanda Malimi amesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha mauaji hayo ni ugomvi wa kifamilia, uliotokana na mke wa mtuhumiwa Editha Martin na mtoto wake Sawia Sudi kubadilisha dini kutoka Uisilamu na kuwa Wakristu.

"Kitendo hicho inaonekana kilimkasirisha sana baba wa familia, na mama alipoona ugomvi umezidi alihama na kwenda kuishi sehemu nyingine, na siku ya tukio mtuhumiwa huyo alivamia katika nyumba walikohamia na kumkuta mke wake ambaye alimkata kwa panga na wakati akitoa alikutana na binti yake naye akamkata kwa panga na kusababisha vifo vyao papo hapo", amesema.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava