Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba amchoma kisu mtoto na yeye kujiua kisa Ukimwi

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Shija Mwanzalima (30) amemchoma na kisu tumboni mtoto wake wa kambo Rachel Erasto (3), kisha kujichoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na kujinyonga mpaka kufa, baada ya kugundulika ameathirika na Virusi vya Ukimwi peke yake huku mkewe akiwa hajaathirika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Geita Geita Henry Mwaibambe

Kamanda wa polisi mkoa wa Geita Geita Henry Mwaibambe, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa mwanaume huyo aliamua kufanya vitendo hivyo mara baada ya yeye kwenda kliniki na mke wake na ndipo alipogundulika kama ni mwathirika wa ugonjwa huo.

"Mtoto amepata jeraha kubwa tumboni na amelazwa katika hospitali ya mkoa wa Geita, huyu mwanaume alikuwa anakaa kwa mwanamke na mwanamke alimuomba ruhusa kwenda nyumbani kusalimia sasa tunadhani huyu mwanaume alihisi anaenda kuwaambia wazazi wake ili aachwe kwa sababu mwanaume alikuwa hana kazi ya maana", amesema Kamanda Mwaibambe.

Aidha kamanda Mwaibambe amewaasa wananchi kutoa taarifa juu ya vitendo vya kikatili vinavyotokea ndani ya familia ili kuvikomesha.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava